-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Urafiki?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Biblia inafundisha kwamba urafiki mzuri haupaswi kutegemea tu mapendezi yanayofanana. Kwa mfano, Zaburi 119:63 inasema: “Mimi ni rafiki ya wote wanaokuogopa wewea na ya wale wanaoyatii maagizo yako.” Ona kwamba mwandikaji wa Biblia anasema kwamba anachagua marafiki wanaoogopa kumchukiza Mungu na wanaotamani kuishi kupatana na viwango vya Mungu.
-
-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Urafiki?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
a Muktadha wa zaburi hii unaonyesha kwamba neno “wewe” katika mstari huu linamrejelea Mungu.
-