Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Urafiki?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Biblia inafundisha kwamba urafiki mzuri haupaswi kutegemea tu mapendezi yanayofanana. Kwa mfano, Zaburi 119:63 inasema: “Mimi ni rafiki ya wote wanaokuogopa wewea na ya wale wanaoyatii maagizo yako.” Ona kwamba mwandikaji wa Biblia anasema kwamba anachagua marafiki wanaoogopa kumchukiza Mungu na wanaotamani kuishi kupatana na viwango vya Mungu.

  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Urafiki?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • a Muktadha wa zaburi hii unaonyesha kwamba neno “wewe” katika mstari huu linamrejelea Mungu.

  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Urafiki?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Zaburi 119:63: “Mimi ni rafiki ya wote wanaokuogopa wewe na ya wale wanaoyatii maagizo yako.”

      Maana: Tunapaswa kuchagua marafiki wanaomwabudu Mungu na wanaojitahidi kuishi kupatana na viwango vyake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki