-
Je! Kweli Kuna Mahali Penye Moto wa Mateso?Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
-
-
6 Ndiyo, watu wazuri wanakwenda Sheoli. Kwa mfano, mfikirie Ayubu anayejulikana kuwa mwaminifu na mwenye ukamilifu kwa Mungu. Alipokuwa akiteswa sana, alimwomba Mungu amsaidie. Sala yake imeandikwa katika Ayubu 14:13, NW: “0 afadhali ungenificha katika Sheoli, . . . afadhali ungeniwekea ukomo wa wakati na kunikumbuka mimi!” Sasa fikiri: Ikiwa Sheoli ni mahali pa moto na mateso, je! Ayubu angetaka kwenda kukaa huko mpaka Mungu amkumbuke? Kwa wazi, Ayubu alitaka kufa aende kwenye kaburi ili mateso yake yamalizike.
-
-
Je! Kweli Kuna Mahali Penye Moto wa Mateso?Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
-
-
31 he foreseeing this spake of the resurrection of the Christ, that neither was he left unto Hāʹdēs, nor did his flesh see corruption.
[Picha katika ukurasa wa 84, 85]
Baada ya kumezwa na samaki, sababu gani Yona alisema: ‘Katika tumbo is Sheoli nikalia’?
[Picha katika ukurasa wa 86]
Gehena ilikuwa bonde la nje ya Yerusalemu. Ilitumiwa kuwa mfano wa kifo cha milele
-