Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwogope Yehova Nawe Utakuwa Mwenye Furaha
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Mei 15
    • Sikiliza Hekima

      Soma Mithali 1:1–2:22. “Woga wa Yehova” ndio maana halisi ya nidhamu, Tukikubali nidhamu, sisi hatutajiunga na wenye dhambi katika kutenda mabaya. Kwa wale wanaomwogopa Yehova, yeye anawapa hekima ambayo huwalinda dhidi ya watenda mabaya.

      ◆ 1:7, NW​—Ni nini “woga wa Yehova”?

      Ni ogopo, heshima nyingi mno ya kimungu, na hofu inayofaa ya kutofanya lisilompendeza yeye kwa sababu tunathamini fadhili zisizostahilika na wema wake. “Woga wa Yehova” unamaanisha kukubali kwamba yeye ndiye Hakimu Mkuu Zaidi Sana na Mwenye Nguvu Zote, akiwa na haki na uwezo wa kuleta adhabu au kifo juu wale wasiomtii. Pia unamaanisha kumtumikia Mungu kwa uaminifu, kumtumainia yeye kabisa kabisa, na kuchukia yaliyo mabaya machoni pake.​—Zaburi 2:11; 115:11; Mithali 8:13.

  • Mwogope Yehova Nawe Utakuwa Mwenye Furaha
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Mei 15
    • Somo Kwetu Sisi: Ikiwa tunamwogopa Yehova, sisi tutakubali nidhamu anayotoa kupitia Neno na tengenezo lake. Kushindwa kufanya hivyo kungetuweka pamoja na “wapumbavu,” wenye dhambi wasioogopa Mungu. Kwa hiyo acheni sisi tukubali nidhamu yake yenye upendo.​—Mithali 1:7; Waebrania 12:6.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki