Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Mwogope Mungu wa Kweli na Kushika Amri Zake”
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Septemba 15
    • Wakati kwa Kila Jambo

      Soma sura 3 na 4. Sulemani hakuwa akitilia nguvu kuwa na maoni ya kutazamia misiba tu maishani (3:1-9). Bali, yeye alikuwa akionyesha kwamba wanadamu hawawezi kabisa kubadili jambo ambalo Mungu ameanza kulitendesha kazi (3:14). Katika habari hiyo, wanadamu si bora kuliko wanyama (3:19-21). Kwa hiyo mwelekeo wa ushirikiano (4:9-12) ni wenye kuthawabisha sana kuliko roho ya mashindano (4:4).

  • “Mwogope Mungu wa Kweli na Kushika Amri Zake”
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Septemba 15
    • Hapana. Lakini Sulemani alionelea kwamba kazi ngumu na kufanya mambo kwa ujuzi mwingi ili mtu ajipatie faida tu kuliongoza mara nyingi kwenye mashindano na ubishani mkali (4:4). Halafu tena, jambo hilo linaweza kutokeza matatizo na hata kuingiza mtu kaburini mapema. (1 Timotheo 6:9, 10) Kwa hiyo, maoni yenye usawaziko ni nini? Uridhike na pato lenye upungufu pamoja na amani, badala ya kufanya pato liwe maradufu pamoja na kazi yenye magumu mengi na ugomvi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki