-
“Mwogope Mungu wa Kweli na Kushika Amri Zake”Mnara wa Mlinzi—1987 | Septemba 15
-
-
Soma sura 5 na 6. Kwa kuwa Yehova ni mwenye nguvu zote, ni lazima sisi tuchukue uhusiano wetu pamoja naye kwa uzito, si kutenda kwa upumbavu na kutazamia akubali “kafara” yetu (5:1, 2). Mtu anayeogopa Mungu anapokea uradhi kutokana na kutumia utajiri wake wa vitu vya kimwili, lakini mtu anayeuweka kwa ubahili hapati mfurahio wo wote.—Linganisha 5:18-20 pamoja na 6:2, 3.
-