-
“Mwogope Mungu wa Kweli na Kushika Amri Zake”Mnara wa Mlinzi—1987 | Septemba 15
-
-
Soma sura 7 na 8. Mkusanya-kundi anafikiria tokeo linaloleta fikira nzito la kifo (7:1-4) na thamani ya hekima(7:11, 12, 16-19); anaonya pia dhidi ya mwanamke mbaya (7:26). Shauri linatolewa juu ya mambo kama vile kutenda kwa hekima kuelekea watawala (8:2-4) na kutowaka kwa hasira kwa sababu ya matendo yasiyo haki.—8:11-14.
-
-
“Mwogope Mungu wa Kweli na Kushika Amri Zake”Mnara wa Mlinzi—1987 | Septemba 15
-
-
Somo kwetu sisi: Ingawa mali za kimwili zimekuwa mradi wa maisha wa wengi, ni hekima ya kutii Mungu tu inayoweza kuongoza kwenye uzima wa milele. (7:12; Luka 12:15) Kutamani sana zile ‘siku za kale nzuri’ hakutatufanyia mambo yawe mazuri zaidi. (7:10, NW). Bali, mambo ‘yatakuwa mazuri’ kwetu ikiwa tu tutaendelea kuogopa Mungu.—8:5, 12, NW.
-