Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Wimbo wa Sulemani
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Novemba 15
    • 1:2, 3—kwa nini kumbukumbu za maonyesho ya mapenzi ya mvulana mchungaji ni kama divai na jina lake kama mafuta? Kama vile divai inavyofanya moyo wa mtu ushangilie na kumiminwa kwa mafuta kichwani kunavyotuliza, ndivyo kumbukumbu za upendo wa mvulana huyo na jina lake lilivyomwimarisha na kumfariji mwanamwali huyo. (Zaburi 23:5; 104:15) Vivyo hivyo, Wakristo wa kweli, hasa watiwa-mafuta, huimarishwa na kutiwa moyo wanapotafakari kuhusu upendo wa Yesu Kristo kuwaelekea.

  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Wimbo wa Sulemani
    Mnara wa Mlinzi—2006 | Novemba 15
    • 1:2; 2:6. Huenda maonyesho safi ya upendo yakafaa wakati wa uchumba. Hata hivyo, mwanamume na mwanamke wanapaswa kuwa waangalifu ili maonyesho hayo yawe ya upendo wa kweli wala si tamaa chafu ya ngono, ambayo inaweza kuwatumbukiza katika uasherati.—Wagalatia 5:19.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki