-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—1994 | Agosti 15
-
-
Mara nyingi Biblia hutumia mmea, kama vile mti, kwa njia ya ufananisho. Nyakati nyingine hilo hutokana na jambo la kwamba mbegu inapochipuka na kukua, mizizi husitawi kabla ya vitawi, matawi mengine, au matunda kutegemezwa na mizizi. Kwa kielelezo, Isaya 37:31 yasomwa hivi: “Mabaki yaliyookoka, yaliyobakia ya nyumba ya Yuda, yatatia mizizi chini, na kuzaa matunda juu.”—Ayubu 14:8, 9; Isaya 14:29.
-
-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—1994 | Agosti 15
-
-
Lugha iliyo kwenye Isaya 37:31 na Malaki 4:1 yatokana na jambo la kwamba vitawi (na matunda yaliyo juu ya matawi ya chini) hupata uhai wavyo kutoka kwa mzizi. Huo ndio ufunguo wa kuelewa jinsi Yesu ni “mzizi wa Yese” na “mzizi wa Daudi.” (NW)
-