Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Atimiza Unabii wa Isaya
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • “Tazama! Mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu, ambaye nimemkubali! Nitaweka roho yangu juu yake, naye atayatangazia mataifa haki. Hatagombana wala kupiga kelele, wala yeyote hatasikia sauti yake kwenye barabara kuu. Hataponda tete lililovunjika, wala hatazima utambi unaofifia, hadi atakapofanikiwa kuleta haki. Kwa kweli, mataifa yatalitumainia jina lake.”​—Mathayo 12:18-21; Isaya 42:1-4.

  • Atimiza Unabii wa Isaya
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • Pia, Yesu anawatangazia ujumbe wake wenye kufariji watu ambao kwa njia ya mfano ni kama tete lililovunjika, lililoinama na kuangushwa. Wao ni kama utambi unaofifia, ambao mwanga wake wa mwisho uko karibu kwisha. Yesu hapondi tete lililovunjika wala kuzima utambi unaofifia na kutoa moshi. Badala yake kwa wororo na upendo anawainua wapole kwa ustadi. Kwa kweli, Yesu ndiye ambaye mataifa yanaweza kumtumainia!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki