-
Mtumaini Yehova Ukabilipo JangaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
9. Ni uhakikisho gani mbalimbali unaopasa kumtia moyo Ahazi na vilevile Wakristo leo?
9 Je, hila ya Siria na Israeli itafanikiwa? La. Yehova atangaza: “Neno hili halitasimama wala halitakuwa.” (Isaya 7:7) Yehova asema kupitia Isaya kwamba mazingiwa hayo ya Yerusalemu yatashindwa na pia “katika muda wa miaka sitini na mitano Efraimu atavunjika vipande vipande, asiwe kabila ya watu tena.” (Isaya 7:8) Naam, katika muda wa miaka 65 Israeli haitakuwapo tena ikiwa kabila ya watu.a Uhakikisho huo, wenye ratiba hususa ya wakati, wapasa kumtia moyo Ahazi. Vivyo hivyo, watu wa Mungu leo hutiwa nguvu kwa kujua ya kwamba wakati uliobaki wa ulimwengu wa Shetani unaisha.
-
-
Mtumaini Yehova Ukabilipo JangaUnabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
a Ili kupata mambo ya ziada juu ya utimizo wa unabii huo, ona Insight on the Scriptures, Buku la 1, ukurasa wa 62 na wa 758, lililochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.
-