Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Watalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova”
    Mnara wa Mlinzi—1988 | Septemba 15
    • 17. (a) Ni njozi gani ambayo Ezekieli alipewa katika 593 K.W.K.? (h) Kuwako kwa lile hekalu la kinjozi ni uthibitisho wa nini?

      17 Katika 593 K.W.K. ule mwaka wa 14 baada ya uharibifu wa hekalu katika Yerusalemu, Ezekieli alipewa njozi ya patakatifu papya kwa ajili ya ibada ya Yehova. Kwa kupimwa na yule malaika mwenye kumpa mwongozo mnabii huyo, palikuwa na vipimo vikubwa sana. (Ezekieli 40:1–48:35) Hekalu hilo lilifananisha “lile hema la kweli, ambalo Yehova alisimamisha,” na lilikuwa na vile “viwakilishi vya ufananishi vya vitu vilivyo katika mbingu.” Yesu Kristo aliingia Patakatifu Zaidi Sana pa hekalu hilo, “mbinguni kwenyewe,” katika 33 W.K. ili ampe Mungu ustahili wa dhabihu yake ya ukombozi. (Waebrania 8:2; 9:23, 24, NW) Lile hekalu la kinjozi linathibitisha kwamba ibada ya kweli itaokoka shambulio la Gogu. Hiyo ni faraja kama nini kwa wapendaji wa jina la Yehova!

  • “Watalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova”
    Mnara wa Mlinzi—1988 | Septemba 15
    • [Ramani/Picha katika ukurasa wa 25]

      (Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)

      Yale matoleo matakatifu na migawo ya kikabila

      BAHARI KUU

      KUINGIA HAMATHI

      DANI

      ASHERI

      NAPHTALI

      MANASE

      EPHRAIMU

      REUBENI

      YUDA

      MKUU

      Mchango Takatifu

      En-Eglaimu

      BENJAMINI

      SIMEONI

      Engedi

      ISSAKARI

      ZEBULUNI

      TamarI

      GADI

      Meribath-Kadeshi

      Bahari ya Chumvi

      Mto Yordani

      Bahari ya Galilaya

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki