Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Biblia Inasema Nini Kumhusu Danieli?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Danieli aliandika: Nebukadneza alitengeneza sanamu kubwa, akawaagiza watu wake waiabudu sanamu hiyo, na akawatupa kwenye tanuru lenye moto wale waliokataa kufanya hivyo.​—Danieli 3:1-6.

  • Biblia Inasema Nini Kumhusu Danieli?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Maandishi ya kale ya Babiloni yanataja mara kadhaa visa vya kuwaua watu kwa kuwatupa kwenye tanuru lenye moto, kutia ndani visa ambavyo maagizo kama hayo yalitolewa na watawala. Hati moja ya zamani inayoaminiwa kuwa ya kipindi cha Nebukadneza, inaeleza kuhusu adhabu waliyopewa maofisa walioshtakiwa kwamba wamekufuru miungu ya Babiloni. Hati hiyo inasema: “Waangamize, wachome, waunguze. . . katika jiko la mpishi . . . moshi mwingi na upae, wateketeze kwa moto mkali.”a

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki