-
Wayahudi Waathiriwa Na Utawala Wa Wagiriki Na Waroma‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Aleksanda alielekea upande wa kusini na kuteka Babiloni, Shushani (Susa), na Persepoli—vituo vya kuendesha shughuli za serikali ya Uajemi. Kisha aliteka haraka maeneo ya Uajemi, na kufika Mto Indus, eneo ambalo ni Pakistan ya sasa. Kwa muda wa miaka minane tu, Aleksanda aliteka maeneo mengi yaliyojulikana wakati huo. Lakini katika mwaka wa 323 K.W.K., akiwa na umri wa miaka 32, Aleksanda aliugua malaria na kufa huko Babiloni.—Da 8:8.
-
-
Wayahudi Waathiriwa Na Utawala Wa Wagiriki Na Waroma‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Baada ya utawala wa Aleksanda, majenerali wake wanne walitawala milki hiyo kubwa
▪ Kasanda
▫ Lisimako
○ Ptolemy wa Kwanza
• Seleuko wa Kwanza
-