Danieli 9:26 (JP): “Baada ya majuma sitini na mawili mpakwa-mafuta [“Mesiya,” Kiebrania Ma·shiʹach] atakatiliwa mbali, asiwepo tena.” Angalia kwamba kukatiliwa mbali, au kifo cha Mesiya, kingetukia kabla ya uharibifu wa hekalu la pili katika 70 W.K., kama vile mstari huo uendeleavyo kusema: “Na watu wa mkuu ambao watakuja wataharibu lile jiji na patakatifu.”