Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumsikiliza Yehova Kadiri Ule Mwisho Ukaribiavyo
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Mei 15
    • 15. Yoeli anaelezaje kupondwa-pondwa kwa mfumo huu, lakini kukiwa na matokeo gani kwa watumishi wa Mungu?

      15 Yoeli 3:13 hadi 16 pia hurejeza kwenye kuokolewa kwa watumishi wa Mungu wakati mfumo huu unapopondwa-pondwa kama zabibu katika shinikizo la divai. Husema hivi: “Haya! utieni mundu, maana mavuno yameiva;... mapipa nayo yanafurika; kwani uovu wao ni mwingi sana. Makutano makubwa, makutano makubwa, wamo katika bonde la kukata maneno! kwa maana siku ya [Yehova] i karibu, katika bonde la kukata maneno. Jua na mwezi vimetiwa giza, na nyota zimeacha kuangaza. Naye [Yehova] atanguruma toka Sayuni [wa kimbingu], . . . na mbingu na [dunia] zitatetemeka; lakini [Yehova] atakuwa kimbilio la watu wake.”

  • Kumsikiliza Yehova Kadiri Ule Mwisho Ukaribiavyo
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Mei 15
    • [Picha katika ukurasa wa 18]

      Mfumo huu unapopondwa-pondwa kama zabibu katika shinikizo la divai, “[Yehova] atakuwa kimbilio la watu wake”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki