Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Tayari Kuhubiri Licha ya Mateso
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • Kwa sababu kazi ya kuhubiri ni muhimu sana, Yesu anawahimiza wafuasi wake wawe na busara, ili waendelee kufanya kazi hiyo kwa uhuru. Anasema: “Mnapoteswa katika jiji moja, kimbilieni jiji lingine; kwa kweli ninawaambia, hamtamaliza kamwe kuzunguka majiji ya Israeli kabla ya Mwana wa binadamu kufika.”—Mathayo 10:23.

  • Tayari Kuhubiri Licha ya Mateso
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • Ni wazi kwamba Yesu anafikiria wakati ujao anapowaambia mitume mambo hayo. Fikiria maneno aliyosema, kwamba wanafunzi wake hawatamaliza “kuzunguka majiji ya Israeli kabla ya Mwana wa binadamu kufika.” Yesu anaonyesha kuwa mitume wake hawatamaliza kuhubiri kuhusu Ufalme wa Mungu kabla ya Mfalme aliyetukuzwa, Yesu Kristo kufika akiwa hakimu wa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki