-
Je, Unapaswa Kulipa Kodi?Amkeni!—2003 | Desemba 8
-
-
Fikiria shauri ambalo Yesu aliwapa wanafunzi wake. Alijua kwamba Wayahudi wenzake walichukia sana kodi zilizotozwa na serikali ya Roma. Ingawa hivyo, Yesu alisema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.” (Marko 12:17) Waona, Yesu aliagiza watu walipe kodi kwa serikali ambayo ingemuua baada ya muda mfupi.
-
-
Je, Unapaswa Kulipa Kodi?Amkeni!—2003 | Desemba 8
-
-
a Shauri la Yesu la kulipa “Kaisari vitu vya Kaisari” halikumaanisha kulipa kodi tu. (Mathayo 22:21) Kitabu Critical and Exegetical Hand-Book to the Gospel of Matthew cha Heinrich Meyer kinaeleza: “[Vitu vya Kaisari] . . . si kodi ya serikali tu, lakini vitu vyote ambavyo tunapaswa kumlipa Kaisari akiwa mtawala halali.”
-