-
Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanaadhimisha Mlo wa Jioni wa Bwana kwa Njia Tofauti na Dini Nyingine?Maswali Yanayoulizwa Mara Nyingi Kuhusu Mashahidi wa Yehova
-
-
Imani ya watu fulani kwamba mkate na divai hubadilika kimuujiza na kuwa mwili na damu halisi ya Yesu, inategemea tafsiri ya mistari fulani katika Biblia. Kwa mfano, tafsiri nyingi za Biblia zinamwonyesha Yesu akisema hivi kuhusu divai: “Hii ni damu yangu.” (Mathayo 26:28) Hata hivyo, maneno hayo ya Yesu yanaweza pia kutafsiriwa hivi: “Hii inamaanisha damu yangu,” “Hii inawakilisha damu yangu,” au “Hii inaashiria damu yangu.”e Yesu alikuwa akifundisha kwa kutumia mfano kama ilivyokuwa kawaida yake.—Mathayo 13:34, 35.
-