Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Dumisha Umoja Katika Kutaniko
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 3. Utafanya nini hali ya kutoelewana ikitokea kati yako na Mkristo mwenzako?

      Ingawa tuna umoja, sisi si wakamilifu. Wakati fulani, tunaweza kuwavunja moyo waabudu wenzetu au kuwaumiza hisia. Kwa hiyo, Neno la Mungu linatuhimiza hivi: “Endeleeni . . . kusameheana,” kisha linaongeza hivi: “Kama vile Yehova alivyowasamehe kwa hiari, nanyi lazima mfanye vivyo hivyo.” (Soma Wakolosai 3:13.) Sisi humkosea Yehova mara nyingi sana, hata hivyo bado anatusamehe. Basi anataka tuwasamehe ndugu zetu. Ukigundua kwamba umemkosea mtu fulani, chukua hatua ya kwanza ili kusuluhisha tatizo hilo.​​—Soma Mathayo 5:​23, 24.b

  • Dumisha Umoja Katika Kutaniko
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • Wakati fulani sisi huwakosea wengine. Unapaswa kufanya nini hilo linapotokea? Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie swali linalofuata.

      VIDEO: Kufanya Amani Huleta Baraka (6:01)

      • Katika video hiyo, dada huyo alichukua hatua gani ili kufanya amani?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki