Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Uadilifu Si kwa Mapokeo ya Mdomo
    Mnara wa Mlinzi—1990 | Oktoba 1
    • ‘Mlisikia Kwamba Ilinenwa’

  • Uadilifu Si kwa Mapokeo ya Mdomo
    Mnara wa Mlinzi—1990 | Oktoba 1
    • 17. Yesu alifundisha kufuata njia gani bora kuliko “jicho kwa jicho, na jino kwa jino”?

      17 Ndipo Yesu akasema: “Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino; lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili.” (Mathayo 5:38-42) Hapa Yesu harejezei pigo lenye madhumuni ya kuumiza bali kofi la madharau kwa kutumia upande wa nyuma wa mkono. Wewe mwenyewe usijishushie hadhi kwa kurudisha madharau. Kataa kurudisha ovu kwa ovu. Bali, rudisha wema na hivyo “uushinde ubaya kwa wema.”—Warumi 12:17-21.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki