-
Tunapaswa Kusali kwa Mungu Jinsi Gani?Amkeni!—2012 | Februari
-
-
Yesu alisema: “Basi, ninyi msali hivi: ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina lako na litakaswe. Ufalme wako na uje. Mapenzi yako na yatendeke duniani kama ilivyo mbinguni. Utupe leo mkate wetu kwa ajili ya siku hii; na utusamehe madeni yetu, kama vile ambavyo sisi pia tumewasamehe wadeni wetu. Na usituingize katika jaribu, bali utukomboe kutokana na yule mwovu.’”—Mathayo 6:9-13.
-
-
Tunapaswa Kusali kwa Mungu Jinsi Gani?Amkeni!—2012 | Februari
-
-
“Utupe leo mkate wetu kwa ajili ya siku hii.” Baada ya kutanguliza jina na Ufalme wa Mungu, Yesu alitaja mahitaji yetu. Maneno yake yanaonyesha kwamba tunapaswa kuepuka kufuatilia mambo ambayo yanazidi yale tunayohitaji “kwa ajili ya siku hii.” Badala yake, tunapaswa kutii shauri linalopatikana kwenye Methali 30:8: “Usinipe umaskini wala utajiri. Acha nile chakula nilichoamriwa.”
-