Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Tunapaswa Kusali kwa Mungu Jinsi Gani?
    Amkeni!—2012 | Februari
    • Yesu alisema: “Basi, ninyi msali hivi: ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina lako na litakaswe. Ufalme wako na uje. Mapenzi yako na yatendeke duniani kama ilivyo mbinguni. Utupe leo mkate wetu kwa ajili ya siku hii; na utusamehe madeni yetu, kama vile ambavyo sisi pia tumewasamehe wadeni wetu. Na usituingize katika jaribu, bali utukomboe kutokana na yule mwovu.’”​—Mathayo 6:9-13.

  • Tunapaswa Kusali kwa Mungu Jinsi Gani?
    Amkeni!—2012 | Februari
    • “Utusamehe madeni yetu, kama vile ambavyo sisi pia tumewasamehe wadeni wetu.” Hapa neno “madeni,” linamaanisha “dhambi.”c Sisi sote tuna deni la kumtii Mungu. Kwa hiyo tunapokosa kumtii, au tunapomtendea dhambi, ni kana kwamba tunajirundikia deni. Ingawa hivyo, Yehova yuko tayari kutusamehe deni hilo ikiwa tutawasamehe kwa fadhili wale wanaotutendea dhambi.​—Mathayo 18:21-35.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki