Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Aulizwa Maulizo Juu ya Kufunga
    Mnara wa Mlinzi—1986 | Juni 1
    • Sasa baadhi ya wanafunzi hao wa Yohana aliyetiwa gerezani wanamjia Yesu na kuuliza: “Kwa nini sisi na Mafarisayo twafunga, bali wanafunzi wako hawafungi? ” Mafarisayo wanazoea kufunga mara mbili kwa juma, hiyo ikiwa desturi ya dini yao. Na labda wanafunzi wa Yohana wanafuata kawaida inayofanana na hiyo. Huenda pia ikawa kwamba wanafunga ili kuomboleza kufungwa kwa Yohana na wanashangaa ni kwa nini wanafunzi wa Yesu hawajiungi nao katika wonyesho huo wa huzuni.

  • Aulizwa Maulizo Juu ya Kufunga
    Mnara wa Mlinzi—1986 | Juni 1
    • [Picha ya ukurasa nzima katika ukurasa wa 8]

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki