-
Hadithi ya Mwana MpotevuMnara wa Mlinzi—1989 | Februari 1
-
-
“Mtu mmoja,” Yesu anaanza, “alikuwa na wana wawili; yule mdogo akamwambia babaye, Baba, nipe sehemu ya mali inayoniangukia. [Baba huyoj akawagawia vitu vyake.” Huyu aliye mchanga zaidi anafanya nini na kile anachopokea?
-
-
Hadithi ya Mwana MpotevuMnara wa Mlinzi—1989 | Februari 1
-
-
Hapa pana jambo la kufikiria: Kama baba yake angalikuwa amemgombeza-gombeza na kumpigia makelele ya hasira wakati alipoondoka kwenye maskani yao, haielekei kwamba mwana huyo angalikuwa na nia moja tu juu ya limpasalo kufanya. Huenda ikawa angaliamua kurudi na kutafuta kazi mahali pengine katika nchi ya kwao ili asilazimike kukabiliana uso kwa uso na baba yake. Hata hivyo, hakuna fikira ya jinsi hiyo iliyoingia akilini mwake. Yeye alitaka kuwa kuko huko kwenye maskani yao!
-