-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Magonjwa ya Mlipuko?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Je, Biblia ilitabiri kuhusu magonjwa ya mlipuko?
Biblia haitabiri magonjwa hususa ya mlipuko, kama vile ugonjwa wa virusi vya corona (COVID-19), UKIMWI, au homa ya Hispania. Lakini inatabiri kuhusu “magonjwa” (au “tauni,” UV) na “ugonjwa hatari.” (Luka 21:11; Ufunuo 6:8) Matukio hayo ni sehemu ya ishara ya “siku za mwisho,” inayorejelewa pia kuwa “umalizio wa mfumo wa mambo.”—2 Timotheo 3:1; Mathayo 24:3.
-
-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Magonjwa ya Mlipuko?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Luka 21:11: “Kutakuwa na . . . magonjwa.”
Maana: Matatizo ya afya yaliyoenea ni ishara ya siku za mwisho.
-