-
“Nilitumwa Kufanya Hivyo”‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
-
-
5. Ni kazi gani kuu ambayo Yesu alifanya maishani, na tutachunguza nini katika sura hii?
5 Pindi moja Yesu alisema: “Lazima nitangaze habari njema ya ufalme wa Mungu, . . . kwa sababu nilitumwa kufanya hivyo.” (Luka 4:43) Yesu alitumwa kuhubiri na kufundisha habari njema ya Ufalme wa Mungu.b Wafuasi wa Yesu leo wanafanya kazi hiyohiyo. Basi tuchunguze kwa nini Yesu alihubiri, habari alizohubiri, na jinsi alivyoiona kazi yake.
-
-
“Nilitumwa Kufanya Hivyo”‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
-
-
b Kuhubiri ni kutangaza au kueneza habari fulani. Kufundisha kuna maana hiyo pia, lakini kunatia ndani kueleza habari kwa mapana na marefu. Kufundisha kuzuri kunahusisha kutafuta njia za kufikia mioyo ili kuwachochea wanafunzi kutenda mambo wanayosikia.
-