Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Furaha ya Kutoa
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Desemba 1
    • Yesu alisema: “Muwe na mazoea ya kuwapa watu.”a (Luka 6:38) Hakuweka wakati maalumu katika mwaka ambao watu wangetazamiwa kutoa zawadi. Yesu aliwahimiza wafuasi wake wawe na zoea la kutoa zawadi mara kwa mara.

  • Furaha ya Kutoa
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Desemba 1
    • a Tafsiri fulani za Biblia zinatumia neno: “Toa.” Katika Kigiriki cha awali, kitenzi hicho huonyesha tendo linaloendelea. Ili kutoa maana kamili ya maneno ambayo Yesu alitumia, Tafsiri ya Ulimwengu Mpya inasema “muwe na mazoea ya kuwapa watu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki