-
Je, Biblia Inajipinga Yenyewe?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Kanuni ya 5: Tambua mhusika
Huko Kapernaumu, ni nani aliyetumwa na ofisa Mroma wa kijeshi ili amsihi Yesu aje kumsaidia? Kitabu cha Mathayo 8:5, 6 kinasema ofisa huyo Mroma wa kijeshi alimjia Yesu moja kwa moja kibinafsi, ilhali kitabu cha Luka 7:3 kinasema kwamba ofisa huyo aliwatuma wanaume wazee wa Wayahudi. Mistari hii ambayo huonekana kuwa inajipinga waziwazi inaweza kueleweka kwa kuzingatia kwamba ofisa mwenyewe alimsihi Yesu kwa sababu alipeleka maombi yake kupitia wazee ambao walikuwa wasemaji wake.
-
-
Je, Biblia Inajipinga Yenyewe?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
a Kwa mfano, Encyclopædia Britannica inapozungumzia kuhusu kaburi la Taj Mahal, inasema kuwa, “lilijengwa na maliki wa milki ya Mughal aliyeitwa Shah Jahān.” Hata hivyo, maliki huyo hakuhusika kibinafsi au moja kwa moja kulijenga kaburi lenyewe. Encyclopædia Britannica inaongeza kusema kwamba “zaidi ya wafanyakazi 20,000 waliajiriwa” katika mradi huo.
-