Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mtumikie Yehova Bila Kukengeuka
    Mnara wa Mlinzi—2015 | Oktoba 15
    • ‘Maria aliendelea kulisikiliza neno lake Yesu. Martha alikengeushwa na kazi nyingi.’ —LUKA 10:39, 40.

  • Mtumikie Yehova Bila Kukengeuka
    Mnara wa Mlinzi—2015 | Oktoba 15
    • 3, 4. Ni kwa njia gani Maria alichagua “fungu jema,” na Martha alijifunza nini? (Tazama picha mwanzoni mwa makala hii.)

      3 Yesu alifurahia ukarimu wa Martha na Maria, naye alitaka kutumia nafasi hiyo kuwapa zawadi ya kiroho. Maria alitumia fursa hiyo kujifunza moja kwa moja kutoka kwa Mwalimu Mkuu, hivyo “aliketi miguuni pa Bwana na . . . , kulisikiliza neno lake.” Martha angeweza kufanya vivyo hivyo. Bila shaka, Yesu angempongeza ikiwa angefanya hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki