-
Yesu Atoa Ushauri Kuhusu UtajiriYesu—Njia, Kweli, na Uzima
-
-
Ni nani watakaoutafuta Ufalme wa Mungu? Yesu anafunua kwamba idadi ndogo, “kundi dogo,” la wanadamu waaminifu ndio watakaokuwa wakifanya hivyo. Baadaye itafunuliwa kwamba idadi yao ni 144,000 tu. Wanatarajia kupata nini? Yesu anawahakikishia hivi: “Baba yenu amekubali kuwapa Ufalme.” Hao hawatakazia fikira kujiwekea hazina duniani, ambako wezi wanaweza kuiba. Badala yake mioyo yao itakazia “hazina isiyopungua huko mbinguni,” ambako watatawala na Kristo.—Luka 12:32-34.
-
-
Uwe Tayari, Msimamizi Mwaminifu!Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
-
-
Yesu ameeleza kwamba “kundi dogo” pekee ndio watakaopata nafasi katika Ufalme wa mbinguni. (Luka 12:32) Hata hivyo, si jambo rahisi kupokea thawabu hiyo nzuri ajabu. Kwa kweli, anaendelea kukazia jinsi itakavyokuwa muhimu kwa yeyote kuwa na mtazamo unaofaa ili awe katika ya Ufalme.
-