Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mfalme Anaufunua Ufalme
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
    • 3, 4. (a) Yesu ameendeleaje kuwafundisha watu waaminifu kuhusu Ufalme wa Mungu? (b) Tutachunguza nini katika sura hii?

      3 Yesu alisema maneno yaliyoandikwa kwenye Yohana 16:12 katika usiku wake wa mwisho duniani. Baada ya kifo chake, angeendeleaje kuwafundisha watu waaminifu kuhusu Ufalme wa Mungu? Aliwahakikishia hivi mitume wake: “Roho ya ile kweli . . . atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote.”a (Yoh. 16:13) Tunaweza kuifananisha roho takatifu na kiongozi mwenye subira. Roho hiyo ndiyo njia ambayo Yesu anaitumia kuwafundisha wafuasi wake jambo lolote wanalohitaji kujua kuhusu Ufalme wa Mungu—kwa wakati unaofaa wanapohitaji kujua jambo hilo.

  • Mfalme Anaufunua Ufalme
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
    • a Kulingana na kitabu kimoja, neno la Kigiriki linalotafsiriwa “ongoza” katika mstari huo linamaanisha “kuonyesha njia.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki