-
Ni Ibada Gani Inayokubalika kwa Mungu?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
1. Ibada yetu inapaswa kutegemea msingi gani?
Ibada yetu inapaswa kutegemea Biblia. Yesu alimwambia Mungu hivi: “Neno lako ni kweli.” (Yohana 17:17) Baadhi ya dini zinapuuza ukweli ulio katika Biblia, Neno la Mungu lililoongozwa na roho. Badala yake, wanafuata mafundisho na tamaduni za wanadamu. Lakini Yehova hafurahishwi na wale ‘wanaopuuza amri ya Mungu.’ (Soma Marko 7:9.) Hata hivyo, tunafanya moyo wake ushangilie tunaposhikamana na Biblia na kufuata ushauri wake.
-
-
Je, Mashahidi wa Yehova ni Wakristo wa kweli?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
1. Ni nini msingi wa imani ya Mashahidi wa Yehova?
Yesu alisema “neno [la Mungu] ni kweli.” (Yohana 17:17) Kama Yesu, sikuzote Mashahidi wa Yehova wametegemea Neno la Mungu kuwa msingi wa imani yao. Fikiria historia ya Mashahidi wa Yehova. Mwishoni mwa karne ya 19, kikundi cha wanafunzi wa Biblia kilianza kuichunguza Biblia kwa makini. Mambo waliyoamini yalitegemea Neno la Mungu, hata yalipotofautiana na mafundisho ya makanisa mengine. Kisha wakaanza kuzungumza na watu wengine kuhusu kweli hizo za Biblia.a
-