Mambo muhimu yaliyotendeka kabla ya kifo cha Yesu yalitukia Yerusalemu au karibu na jiji hilo: bustani ya Gethsemane, ambapo Yesu alisali; jumba la Sanhedrini; nyumba ya Kayafa; jumba la Gavana Pilato na, hatimaye Golgotha.—Mk 14:32, 53–15:1, 16, 22; Yoh 18:1, 13, 24, 28.