-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—2004 | Desemba 1
-
-
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Kwa nini Yesu aliyefufuliwa alimwambia Tomaso amguse na hali alikuwa amemkataza Maria Magdalene kufanya hivyo hapo awali?
-
-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—2004 | Desemba 1
-
-
Mazungumzo kati ya Yesu na Tomaso yalikuwa tofauti. Yesu alipowatokea wanafunzi fulani, Tomaso hakuwepo. Baadaye, Tomaso alitilia shaka kufufuliwa kwa Yesu, akisema kwamba hangeamini mpaka aone majeraha ya Yesu yaliyosababishwa na misumari na kutia mkono wake ndani ya upande ambao Yesu alidungwa kwa mkuki. Siku nane baadaye, Yesu aliwatokea tena wanafunzi wake. Wakati huu Tomaso alikuwepo, naye Yesu alimwambia aguse majeraha yake.—Yohana 20:24-27.
Hivyo, kwa habari ya Maria Magdalene, Yesu alikuwa akishughulika na mtu aliyetaka kumzuia isivyofaa asiondoke; kwa habari ya Tomaso, Yesu alikuwa akimsaidia mtu mwenye shaka. Katika visa vyote viwili, Yesu alikuwa na sababu nzuri ya kutenda alivyotenda.
-