-
Wao Washindwa KumkamataMnara wa Mlinzi—1988 | Aprili 15
-
-
Kwa kuitikia fundisho la Yesu, watu fulani wanaanza kusema: “Kwa uhakika huyu ndiye Yule Nabii,” kwa uwazi wakirejeza kwenye yule nabii mkubwa kuliko Musa aliyeahidiwa kuja. Wengine wanasema: “Huyu ndiye Kristo.” Lakini wengine wanabisha hivi: “Yule Kristo kwa kweli haji kutoka Galilaya, sivyo? Je! Andiko halijasema kwamba Kristo anakuja kutokana na mzao wa Daudi, na kutoka Bethlehemu kijiji ambako Daudi alikuwa akiwa huko?”
-
-
Wao Washindwa KumkamataMnara wa Mlinzi—1988 | Aprili 15
-
-
Ingawa Maandiko hayasemi moja kwa moja kwamba nabii angekuja kutoka ndani ya Galilaya, yanaonyesha kuwa yule Kristo atakuja kutoka kwenye mahali hapo, yakisema kwamba “nuru kubwa” ingeonwa katika jimbo hili. Na tofauti na dhana zisizofaa, Yesu alizaliwa katika Bethlehemu, na yeye alikuwa mzao wa Daudi. Ingawa labda Mafarisayo wana habari za jambo hili, inaelekea wao ndio wenye lawama la kueneza dhana hizo zisizofaa ambazo watu wanazo juu ya Yesu. Yohana 7:32-52; Isaya 9:1, 2; Mathayo 4:13-17, NW.
-