-
Mwana wa Mungu—“Nuru ya Ulimwengu”Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
-
-
Hata hivyo, baadhi ya Wayahudi wanamwamini Yesu, naye anawaambia: “Mkikaa katika neno langu, ninyi kwa kweli ni wanafunzi wangu, nanyi mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka ninyi huru.”—Yohana 8:31, 32.
-
-
Mwana wa Mungu—“Nuru ya Ulimwengu”Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
-
-
Kwa hiyo ukweli kumhusu Mwana ndio unaowaweka watu huru milele kutokana na dhambi inayoleta kifo. Yesu anasema: “Mwana akiwaweka ninyi huru, kwa kweli mtakuwa huru.”—Yohana 8:36.
-