Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Lazaro Afufuliwa
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • Kayafa anafaulu kushawishi Sanhedrini ifanye mipango ya kumuua Yesu. Je, inawezekana Nikodemo, mshiriki wa Sanhedrini ambaye ni rafiki ya Yesu anamfunulia mipango hiyo? Vyovyote vile, Yesu anaondoka kwenye eneo lililo karibu na Yerusalemu, na hivyo kuepuka kuuawa kabla wakati uliowekwa na Mungu haujafika.

  • Watu Kumi wenye Ukoma Waponywa​—Mmoja Ashukuru
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
    • Yesu anavuruga mipango ya Sanhedrini ya kutaka kumuua anaposafiri kwenda jiji la Efraimu, lililo upande wa kaskazini mashariki hivi wa Yerusalemu. Anakaa huko na wanafunzi wake, akiwa mbali na maadui wake. (Yohana 11:54) Hata hivyo, Pasaka ya mwaka wa 33 W.K. inakaribia, kwa hiyo Yesu anasafiri tena. Anasafiri kuelekea kaskazini kupitia Samaria hadi Galilaya, safari yake ya mwisho katika eneo hilo kabla ya kifo chake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki