Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Mimi Sina Hatia ya Damu ya Mtu Yeyote”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
    • “Wakafarijika Sana” (Mdo. 20:5-12)

      12, 13. (a) Ufufuo wa Eutiko ulikuwa na matokeo gani kutanikoni? (b) Ni tumaini gani linalopatikana katika Biblia ambalo huwafariji wale wanaofiwa leo?

      12 Baada ya kupita Makedonia, Paulo na wenzake waligawanyika na kwenda sehemu tofauti. Yaonekana kwamba kikundi hicho kilikutana tena Troa.d Masimulizi yanasema: “Siku tano baadaye tukawafikia huko Troa.”e (Mdo. 20:6) Wakiwa Troa ndipo yule kijana Eutiko alipofufuliwa, kama tulivyosoma mwanzoni mwa sura hii. Wazia jinsi akina ndugu walivyohisi walipomwona mwenzao Eutiko akifufuliwa! Masimulizi hayo yanasema kwamba ‘walifarijika sana.’​—Mdo. 20:12.

  • “Mimi Sina Hatia ya Damu ya Mtu Yeyote”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
    • d Maneno ya Luka katika Matendo 20:5, 6 yanadokeza kwamba Luka aliungana tena na Paulo huko Filipi. Mapema Paulo alimwacha Luka huko.​—Mdo. 16:10-17, 40.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki