-
“Mimi Sina Hatia ya Damu ya Mtu Yeyote”“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
“Wote wakalia sana.”—Matendo 20:37
22. Kwa nini wazee wa Efeso walimpenda sana Paulo?
22 Kwa kuwa Paulo aliwapenda akina ndugu kikweli, ndugu hao walimpenda sana. Kwa kweli, wakati wake wa kuondoka ulipofika, ‘wote walilia sana, nao wakamkumbatia Paulo na kumbusu kwa upendo.’ (Mdo. 20:37, 38) Wakristo huwathamini na kuwapenda ndugu ambao, kama alivyofanya Paulo, hujitoa wenyewe bila ubinafsi kwa manufaa ya kundi. Unapotafakari mfano mzuri wa Paulo, je, hukubali kwamba hakuwa akijisifu wala kutilia chumvi aliposema: “Mimi sina hatia ya damu ya mtu yeyote”?—Mdo. 20:26.
-