Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Hakuna Hata Mmoja Wenu Atakayepotea”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
    • 19 Paulo alijitolea kusaidia kazi. Alikusanya kuni kadhaa, na kuzitia motoni. Alipokuwa akifanya hivyo, nyoka mwenye sumu akatokea, akamuuma, na kujifunga mkononi mwake. Wenyeji hao wa Malta walidhani ni adhabu kutoka kwa Mungu.a

  • “Hakuna Hata Mmoja Wenu Atakayepotea”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
    • a Kwa kuwa wenyeji waliwajua nyoka hao, yaonekana kwamba nyoka hao walikuwako katika kisiwa cha Malta nyakati hizo. Leo, hawapatikani huko. Huenda sababu ikawa kwamba kadiri ambavyo miaka imepita, kumekuwa na mabadiliko ya mazingira. Au nyoka hao waliisha kwa sababu ya ongezeko la watu kwenye kisiwa hicho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki