-
Biblia Inawezaje Kukusaidia?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
6. Watu wengine wanaweza kutusaidia kuelewa Biblia
Zaidi ya kusoma Biblia wakiwa peke yao, watu wengi wametambua kwamba wanaielewa vizuri zaidi wanaposaidiwa na watu wengine. Soma Matendo 8:26-31, kisha mzungumzie swali hili:
Tunawezaje kuielewa Biblia vizuri?—Ona mstari wa 30 na 31.
Mwanamume Mwethiopia alihitaji msaada ili kuelewa Maandiko. Leo watu wengi wananufaika kwa kujifunza Biblia pamoja na wengine
-