Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Biblia Inawezaje Kukusaidia?
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 6. Watu wengine wanaweza kutusaidia kuelewa Biblia

      Zaidi ya kusoma Biblia wakiwa peke yao, watu wengi wametambua kwamba wanaielewa vizuri zaidi wanaposaidiwa na watu wengine. Soma Matendo 8:26-31, kisha mzungumzie swali hili:

      • Tunawezaje kuielewa Biblia vizuri?​—Ona mstari wa 30 na 31.

      Picha: 1. Mweneza-injili Filipo anamfafanulia Maandiko mwanamume Mwethiopia. 2. Shahidi wa Yehova akijifunza Biblia pamoja na mama na watoto wake wawili.

      Mwanamume Mwethiopia alihitaji msaada ili kuelewa Maandiko. Leo watu wengi wananufaika kwa kujifunza Biblia pamoja na wengine

  • Biblia Inawezaje Kukusaidia?
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki