-
Kutangaza “Habari Njema Kumhusu Yesu”“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
c Huo haukuwa msisimko tu. Kwa kuwa alikuwa Myahudi mgeuzwa imani, tayari alikuwa na ujuzi wa Maandiko, kutia ndani unabii kuhusu Masihi. Baada ya kuelewa jukumu la Yesu katika mpango wa Mungu, hakuna jambo lililomzuia kubatizwa.
-