Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Funguo za Ufalme” Ni Nini?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • “Funguo za Ufalme,” zinawakilisha mamlaka ya kuwafungulia watu njia ya ‘kuingia katika ufalme wa Mungu.’ (Mathayo 16:19; Matendo 14:22)a Yesu alimpa Petro “funguo za ufalme wa mbinguni.” Hilo linamaanisha kwamba Petro alipokea mamlaka ya kufungua habari kuhusu jinsi watu waaminifu, wangeweza kufurahia pendeleo la kuingia katika Ufalme wa mbinguni, wanapopata roho takatifu ya Mungu.

  • “Funguo za Ufalme” Ni Nini?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • ‘Kuingia katika Ufalme’ kunamaanisha nini?

      Wale ambao ‘wanaingia katika Ufalme’ wanakuwa watawala pamoja na Yesu mbinguni. Biblia ilitabiri kwamba ‘wangeketi juu ya viti vya ufalme’ na ‘kutawala wakiwa wafalme juu ya dunia.’​—Luka 22:29, 30; Ufunuo 5:​9, 10.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki