Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mungu Ni Nani?
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 4. Yehova anataka ujue na kulitumia jina lake

      Ni nini kinachoonyesha kwamba Yehova anataka ulijue jina lake? Onyesha VIDEO, kisha mzungumzie maswali haya:

      VIDEO: Je, Mungu Ana Jina?​—Kisehemu (3:11)

      Picha ya video ‘Je, Mungu Ana Jina?​—Kisehemu.’ Mwanamume anasoma jina la Mungu, Yehova, kwenye Zaburi 83:18 katika tafsiri ya ‘King James Version’ ya mwaka wa 1611.
      • Unafikiri Yehova anataka watu walijue jina lake? Kwa nini?

      Yehova anataka watu walitumie jina lake. Soma Waroma 10:13, kisha mzungumzie maswali haya:

      • Kwa nini tunapaswa kutumia jina Yehova?

      • Wewe unahisije mtu anapokumbuka jina lako na kulitumia?

      • Unafikiri Yehova anahisije unapolitumia jina lake?

  • Jinsi Dini za Uwongo Zinavyopotosha Ukweli Kumhusu Mungu
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
    • 1. Mafundisho ya dini za uwongo yanapotoshaje ukweli kumhusu Mungu?

      Dini za uwongo “[zimebadili] kweli ya Mungu kwa ajili ya uwongo.” (Waroma 1:25) Kwa mfano, dini nyingi hazifundishi wafuasi wake jina la Mungu. Hata hivyo, Biblia inasema kwamba lazima watu walitumie jina la Mungu. (Waroma 10:13, 14) Jambo baya linapotokea, baadhi ya viongozi wa dini husema ni mapenzi ya Mungu. Lakini huo ni uwongo. Mungu hasababishi kamwe mambo maovu. (Soma Yakobo 1:13.) Inasikitisha kwamba uwongo wa dini umefanya iwe vigumu kwa watu kumpenda Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki