Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 3 | Ondoa Chuki Akilini Mwako
    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote)—2022 | Na. 1
    • Biblia Inasema:

      “Mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu, ili mjihakikishie wenyewe mapenzi ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu.”​—WAROMA 12:2.

      Inamaanisha Nini?

      Mambo tunayowaza ni muhimu kwa Mungu. (Yeremia 17:10) Tunahitaji kufanya mengi zaidi ya kuepuka kusema au kufanya jambo linaloonyesha kwamba tuna chuki. Chuki huanzia akilini na moyoni. Hivyo, tunapaswa kuondoa dalili yoyote ya chuki akilini na moyoni. Tukifanya hivyo tutakuwa ‘tumegeuzwa’ kikweli na kushinda chuki.

  • 3 | Ondoa Chuki Akilini Mwako
    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote)—2022 | Na. 1
    • Ni nini kilichomsaidia Stephen kuacha matendo yaliyochochewa na chuki? Andiko la Waroma 12:2 lilimsaidia. Anasema: “Nilianza kutambua kwamba ninahitaji kubadili mtazamo wangu. Nilihitaji kutambua kwamba ninapaswa kutenda kwa njia ya amani na pia kuona kwamba hiyo ndiyo njia bora ya maisha.” Stephen amefurahia maisha bila kuwa na hisia za chuki kwa zaidi ya miaka 40 sasa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki