Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufufuo wa Yesu—Je, Kweli Ulitukia?
    Mnara wa Mlinzi—2013 | Machi 1
    • [Picha katika ukurasa wa 5]

      Paulo hakufikiri kwamba aliamini uwongo. Alijua Yesu alifufuliwa kutoka kwa wafu, na alimalizia uthibitisho wake kwa Wakorintho hivi, “kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko; na kwamba alizikwa, ndiyo, kwamba alifufuliwa siku ya tatu kulingana na Maandiko; na kwamba alimtokea Kefa, kisha wale kumi na wawili.”b Halafu akaongeza hivi: “Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa, lakini wengine wamelala usingizi katika kifo. Baadaye alimtokea Yakobo, kisha mitume wote; lakini mwisho kabisa alinitokea mimi pia.”—1 Wakorintho15:3-8.

  • Ufufuo wa Yesu—Je, Kweli Ulitukia?
    Mnara wa Mlinzi—2013 | Machi 1
    • b Usemi “wale kumi na wawili” unamaanisha “mitume,” ingawa walibaki 11 baada ya Yuda Iskariote kufa. Kwenye tukio moja, 10 pekee waliwakilisha wale mitume 12, kwa kuwa Tomasi hakuwepo.—Yohana 20:24.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki