-
Ufufuo wa Yesu—Je, Kweli Ulitukia?Mnara wa Mlinzi—2013 | Machi 1
-
-
Paulo hakufikiri kwamba aliamini uwongo. Alijua Yesu alifufuliwa kutoka kwa wafu, na alimalizia uthibitisho wake kwa Wakorintho hivi, “kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko; na kwamba alizikwa, ndiyo, kwamba alifufuliwa siku ya tatu kulingana na Maandiko; na kwamba alimtokea Kefa, kisha wale kumi na wawili.”b Halafu akaongeza hivi: “Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa wakati mmoja, ambao walio wengi kati yao wapo mpaka sasa, lakini wengine wamelala usingizi katika kifo. Baadaye alimtokea Yakobo, kisha mitume wote; lakini mwisho kabisa alinitokea mimi pia.”—1 Wakorintho15:3-8.
-
-
Ufufuo wa Yesu—Je, Kweli Ulitukia?Mnara wa Mlinzi—2013 | Machi 1
-
-
b Usemi “wale kumi na wawili” unamaanisha “mitume,” ingawa walibaki 11 baada ya Yuda Iskariote kufa. Kwenye tukio moja, 10 pekee waliwakilisha wale mitume 12, kwa kuwa Tomasi hakuwepo.—Yohana 20:24.
-