Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wanawake Wakristo—Kudumisha Ukamilifu Mahali pa Kazi
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Machi 15
    • Mwanamke mmoja mwenye utambuzi jina lake Betty anachukua hatua nyingine ya tahadhari. Yeye anasema: “Mimi ninakuwa mwangalifu sana juu ya kushirikiana na wafanya kazi wenzangu kwa sababu adili zao haziko sawa na zangu.” (1 Wakorintho 15:33) Hiyo haimaanishi mtu ajitenge mbali au kuwa mwenye uhasama kwa wafanya kazi wenzake. Lakini wakati wao wanaposisitizia kuzungumzia mambo yenye kuudhi Mkristo, usisitesite kujiondoa kati yao. (Waefeso 5:3, 4) Kule kusikiliza tu maongezi kama hayo ya ukosefu wa adili kungeweza kuwapa wanaume kazini wazo la kwamba wewe ungeitikia matongozi yao.

  • Wanawake Wakristo—Kudumisha Ukamilifu Mahali pa Kazi
    Mnara wa Mlinzi—1987 | Machi 15
    • Hatimaye, mwanamke mwenye utambuzi anaepuka hali za kuachisha msimamo. Mwaliko wa kunywa kileo au kubaki kazini baada ya saa za kazi kwa sababu isiyo wazi huenda hata ukawa ni mtego! (Linganisha 2 Samweli 13:1-14.) “Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha,” inasema mithali yenye hekima.—Mithali 22:3.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki