-
“Mungu Hupenda Mpaji Mchangamfu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Novemba 1
-
-
Paulo alipata msaada kutoka kwa makutaniko yaliyokuwa mbali sana kama vile Makedonia, naye alipanga mchango utolewe kwa niaba ya Wakristo wa Yudea waliokumbwa na umaskini. Kwa Wakorintho, Paulo aliandika: “Kama vile nilivyoyapa maagizo makutaniko ya Galatia, nyinyi wenyewe pia fanyeni kwa njia hiyohiyo. Kila siku ya kwanza ya juma acheni kila mmoja wenu kwenye nyumba yake mwenyewe aweke kando kitu fulani katika akiba kama aelekeavyo kuwa anafanikiwa.”a—1 Wakorintho 16:1, 2.
-
-
“Mungu Hupenda Mpaji Mchangamfu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Novemba 1
-
-
a Ingawa Paulo ‘alitoa maagizo,’ hilo halimaanishi kwamba alitoa madai ya lazima, yasiyo na msingi maalumu. Badala yake, Paulo alikuwa tu akisimamia mchango, uliohusisha makutaniko kadhaa. Kwa kuongezea, Paulo alisema kwamba kila mmoja “kwenye nyumba yake” angetoa “kama aelekeavyo kuwa anafanikiwa.” Yaani, kila mchango ungetolewa faraghani na kwa hiari. Hakuna aliyelazimishwa.
-