-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Useja na Ndoa?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
7. Fuata viwango vya Yehova kuhusu ndoa
Huenda mtu akahitaji kufanya jitihada nyingi ili kufuata viwango vya Yehova kuhusu ndoa.c Lakini Yehova anawabariki wale wanaofanya hivyo. Onyesha VIDEO.
Soma Waebrania 13:4, kisha mzungumzie maswali haya:
Je, unafikiri viwango vya Yehova kuhusu ndoa vinafaa? Kwa nini?
Yehova anatarajia Wakristo waandikishe kisheria ndoa na talaka zao kwa sababu katika nchi nyingi, hiyo ni sheria iliyowekwa na serikali. Soma Tito 3:1, kisha mzungumzie swali hili:
Ikiwa umefunga ndoa, je, umehakikisha kwamba ndoa yenu inatambuliwa kisheria serikalini?
-
-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Useja na Ndoa?Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
-
-
c Ikiwa unaishi na mtu ambaye hujafunga naye ndoa, unaweza kuamua kumwacha au kufunga naye ndoa, huo ni uamuzi wako.
-