-
DiniKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Ebr. 10:24, 25: “Acheni tufikiriane ili kuchocheana katika upendo na matendo mazuri, bila kuacha kukusanyika pamoja sisi wenyewe, kama vile wengine walivyo na desturi, bali tutiane moyo, na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku ile kuwa inakaribia.” (Ili kutimiza amri hiyo ya Kimaandiko, ni lazima kuwe na mikutano ya Kikristo ambayo tunaweza kuhudhuria kwa ukawaida. Mpango kama huo unatutia moyo tuonyeshe wengine upendo, si kujihangaikia sisi wenyewe tu.)
-
-
DiniKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Je, tunaweza kuwa na uhusiano mzuri pamoja na Mungu ikiwa tunaziona amri zake kuwa si za maana? Moja ya hizo ni ya kwamba tukusanyike kwa ukawaida pamoja na waamini wenzetu.—Ebr. 10:24, 25.
-
-
DiniKutoa Sababu kwa Kutumia Maandiko
-
-
Bila shaka, mtu akiisoma Biblia lakini asiifuate maishani mwake, haitamfaidi sana. Akiiamini na kuifuata, lazima ashirikiane na watumishi wa Mungu katika mikutano ya kawaida ya kutaniko. (Ebr. 10:24, 25) Pia atajiunga nao katika kuwahubiria wengine “habari njema.”—1 Kor. 9:16; Marko 13:10; Mt. 28:19, 20.
-